MAELEZO YA WAZIRI WA KILIMO KUHUSU AZIMIO LA BUNGE LA KURIDHIA ITIFAKI YA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI YA VIWANGO VYA AFYA YA MIMEA, WANYAMA NA USALAMA WA CHAKULA (EAC SPS)

Waziri wa Kilimo Mhe Prof. Adolf Mkenda akitoa maelezo kuhusu Azimio la Bunge kuhusu Itifaki ya Jumuiya ya Afrika Mashariki ya Viwango Vya Afya ya Mimea, Wanyama na  Usalama wa Chakula (East African Community Protocol on Sanitary and Phytosanitary Measures – EAC SPS), Bungeni Jijini Dodoma Leo tarehe 8 Septemba 2021. (Picha Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)